mwanazuoni

HAWA NDIO WANAUME WA EUROPA
























Chelsea imefanikiwa kutwaa Kombe la Europa League baada ya kuichapa Benfica ya Ureno kwa mabao 2-1.
Katika mechi hiyo ya fainali iliyopigwa mjini Amsterdam nchini Uholanzi, Chelsea walipata mabao yao kupitia kwa Fernando Torres na Branislav Inavovic na Benfica wakapata hilo moja kupitia Cardozo.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment