Mwana dada au binti komando, Msanii nguli wa muziki wa kizazi kipya amabye alikuwa anatarajia kufanya onyesho la miaka kumi na tatu (13) katika tasnia ya muziki hapa bongo siku ya kesho yaani Tarehe 31- 05 - 2013. amefanya uamuzi wa kupeleka mbele onesho ilo kwa kuwapa fursa wapenzi wa Msanii Ngwea kushiriki katika mazishi, ameyasema hayo muda mfupi wakati anahojiwa na EAT RADIO.
CHANZO : SUPER MIX na Mtagazaji Zembwela
0 comments:
Post a Comment