|
Msanii Diamond awa wa kwanza kuaga |
|
Joh Makini katika mstari |
|
Mkubwa Fera kwenye kamati |
|
Gari lililobeba Mwili likiwasili |
|
Wakazi wa jiji la Dar wakifatilia tukio nzima |
|
Mwili wa marehemu ukishushwa |
|
Maelfu ya watu wajitokeza kuuaga mwili wa Marehemu Mangweah |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mwandishi wetu anaendelea kufatiria tukio nzima linavyoendelea viwanja vya Leaders club na atakuwa akitujuza kinachoendelea. pia taarifa zilizotufikia wakati tunaedea mitambo kuwa maandalizi ya mazishi yanaendelea vizuri mkoani Morogoro kwani wachimbaji kaburi wanaendelea vizuri na wakishirikiana na msanii Dully Sykes amabye yupo Morogoro .
Mtani
Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
0 comments:
Post a Comment