mwanazuoni

MSHAMBULIAJI WA MANCHESTER CITY KUKOSA MECHI DHIDI YA BARCELONA


 Kocha wa Manchester city amehakikisha kukosa kwa mshambuliaji wake Kun Aguero katika  mechi ya ligi ya Mabingwa dhidi ya Barcelona. Mshambuliaji huyo hatakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki 8.


Pellegrini  alisema " mimi sio daktari, ni vigumu sana alimwambia mtangazaji, inategemea na jinsi daktari wa timu atakavyoona ila naamini ni zaidi ya miezi miwili yaani wiki 8"
  
Aliendelea kusema kuwa " sifahamu ni muda gani itachukua lakini naamini yaweza kuwa mwezi mmoja. Ni vigumu sana kujua ni muda gani ili tatizo litakwisha.

Mechi hiyo ya Manchester city na Barcelona itachezwa tarehe 18 Febuari.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment