mwanazuoni

TANZIA: KOCHA WA SIMBA SPORT CLUB AFARIKI DUNIA LEO



James Kisaka enzi za Uhai wake




Alikuwa kocha wa makipa katika timu ya wekundu wa msimbazi vijana wa msimbazi yaani Simba Sc ndugu James Kisaka. amefariki dunia leo katika hospital ya Burhan mkoani Dar es salaam. James Kisaka atakumbukwa kwa umahiri wake miaka ya nyuma alipokuwa gorikipa wa timu hiyo ya Simba Sc. Marehemu Kisaka alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya macho, miguu pamoja na kichwa kwa muda  mpaka umauti ulipomfikia leo asubuh.

                    Mungu ilaze roho ya marehemu mahali pema pepon.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment