mwanazuoni

TANZIA: MPENDWA WETU MAMA NEY TUTAKUKUMBUKA SANA

Kila jambo lina mwanzo pia lina mwisho. Hivyo kila binadamu hana budi kutambua kuwa kuna mwisho wa kila jambo. Leo ni siku ya huzuni sana kwa ndugu, jamaa, majirani pia na kwa familia. Tulikupenda sana mama Ney ila mungu amakupenda zaidi sisi tupo nyuma yako kwa maombi na sala mama yetu mpendwa kwani hakuna wa kuziba pengo lako . Tumejifunza mengi sana wakati wa uhai wako pia tunakuahidi kuwa tufanya yale yote ambao umetuachia.

                                                    R . I .P



 Vijana wa Al Jazeera wakiwa kanisani wakisubiri kwenda mazikoni



 Picha kwa hisani ya Al Jazeera Crew kutoka kawe. mtaani alipozaliwa Mshana Junior. nasikitika kutokuwepo kwenye sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment