mwanazuoni

YALIYOTOKEA BAADA YA ZITTO KABWE KUSHINDA KESI ZIDI YA CHADEMA



Baada ya kutolewa hukumu ya kesi ya Zitto Kabwe zidi ya CHADEMA kuna matukio mbali mbali ambayo yametokea.Matukio hayo yametokea baada ya mahakama kuu kuamuru chadema kurudisha shauri kuu la Zitto Kabwe kujadiliwa katika Baraza Kuu kama yeye alivyotaka. Wakili Albert Msando ameibuka kuwa shujaa leo na kuonyesha kuwa yeye ni zaidi kuliko wakili wa chadema Tindu Lissu.
ZITTO NA ALBERT MSANDO

 WAFUASI WA ZITTO

 Askari Wakituliza fujo

Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment