mwanazuoni

VAN GAL AKARIBISHWA KWA KICHAPO ENGLAND

Leo kocha wa Manchester United amejikuta akiwa katika hali mbaya baada ya kukubali kichapo cha mabao mawili kwa moja. Man U 1 - 2 Swanse. Kipigo hicho kimemfanya kocha Van Gal kuvunja rekodi ya mwaka 1972 ambayo Man U ilikubali kufungwa katika mechi ya ufunguzi katika uwanja wake wa nyumbani.


Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment