mwanazuoni

MWENYEKITI MPYA WA BAVICHA AJULIKANA RASMI

Baada ya mchuano mkali katika uchaguzi wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA). Mchuano huu ambao ulipelekea kwenda katika mzunguko wa pili baada ya mzunguko wa kwanza kushindwa kupata mshindi aliyefikisha 50%. Hivyo mzunguko wa pili umempa ushindi Ndugu Patrobas Paschal na Makamu ni Patrick Ole Sosopi. 

Kutokana na matokeo hayo Ndugu Patrobas Paschal ndio Mwenyekiti mpya wa BAVICHA.

Habari nyingine tutakuwa tunawapa kadri zinavyojili kwani baada wapo kwenye ukumbi.





Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment