mwanazuoni

VIJANA WA KITANZANIA WATAKIWA KUWA WAZALENDO KWA TAIFA LAO

Vijana wa kitanzania watakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kufanya kazi ambazo zitawaingizia kipato na kuongeza pato la taifa. Vijana wengi wa kitanzania wamekuwa bado wana mawazo ya Uchaguzi hali ya kuwa mchakato mzima umeshaisha lakini bado vijana wanajisahau.

Hivyo Mwanaharakati na Komred Ramadhani Bhatia aliyesema hayo baada ya kufanya Mazungumzo na mmoja wa wanahabari wetu. Komred  huyu aliongea hayo kwa uchungu mkubwa baada ya kuwaona vijana  wengi wakishindwa kufanya kazi kwa madai kuwa wao walikuwa ukawa na wengi walikuwa wanachama wa vyama vingine vya Upinzani. Hivyo mwanaharakati huyo  alitumia muda wake kwa kuwapa nasaha na kuwaamasisha kufanya kazi.
Pia hakusita kuzungumzia habari za Mkwamo wa kisiasa Zanzibar. Kwa kuaomba nchi zilizoendelea ziache kutumia uchumi na jeshi kupelekea matakwa ya siasa kwa msalahi ya nchi zao, kufanya ni kunyima uhuru wa kidemikrsia kwa nchi zenye uwezo mdogo wa kijeshi na kiuchumi. hivyo ni vizuri kutumia depromasia ya nchi uhusika kwa kuangalia utamaduni na historia yao.


Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment