Yanga imeendelea kushinda mechi zake za ligi kuu Tanzania bara baada
ya kuifunga Toto Africans ya jijini Mwanza kwa magoli 2-1 kwenye uwanja
wa CMM Kirumba, Mwanza.
Toto walianza kupata goli la kwenye mchezo huo lililofungwa
na William Kimanzi dakika ya 39 kipindi cha kwanza lakini goli hilo
likasawazishwa na Amis Tambwe dakika ya 50 kipindi cha pili.
Yanga walijihakikishia pointi tatu kwenye mchezo huo kupitia beki wao
wa kulia Juma Abdul dakika ya 78 na kifanya Yanga kufikisha pointi 65
baada ya kucheza michezo 26 ya VPL.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment