mwanazuoni

MHE: MBUNGE WA RUFIJI AMECHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA WABUNGE WAISLAM WA CCM NA UPINZANI


 Mhe Mbunge wa Rufiji Ndugu M. Mchengerwa wa kati mwenye shati la Njano

Ndugu M. Mchengerwa mbunge wa Rufiji na Mwenyekiti wa bunge wa kamati ya Sheria na katiba. Hivi karibuni  amechaguliwa na wabunge wenzie kuwa Mwenyekiti wa wabunge Waislamu wa Chama Cha Mapinduzi na Ukawa. Hongera sana kwa wabunge kukuamini na kukuchagua kuwa kiongozi wao ni heshima kwa wanarufiji na watanzania kwa ujumla.
Taarifa hii imeripotiwa na Mtulyakwaku Mjumbe Jr.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment