mwanazuoni

RAIS MPYA WA MAREKANI HUYU HAPA


 
Matokeo Ya Uchaguzi mkuu wa Marekani umetoa majibu  yaliyokuwa yanasubiriwa kwa hamu na watanzania na duniani kote. Hivyo kwa Matokeo yaliyokuwa yanaendelea yamethibitisha kuwa Donald J. Trump kuwa mshindi wa kiti hicho cha Urais wa 45 wa Marekani. Mnamo tarehe 20.01.2017 atapokea kiti chake cha Urais kutoka kwa Obama ambaye alitokea chama Cha Democratic.

Mabadiliko makubwa sana yamefanyika kwa kukitoa chama cha Democratic kuingiza Republic .
Hongera Sana DONALD J. TRUMP
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment