mwanazuoni

Basel yaichapa Benfica 5-0 Uefa

Michuano ya kuwania taji la Klabu Bingwa Barani Ulaya (Uefa champions Ligi) imechezwa usiku wa kuamkia leo Alhamisi katika hatua ya makundi kwa michezo mbalimbali.
Kundi A- FC Basel wakiwa nyumbani wameibugiza Benfica 5-0, CSKA Moscow wakiwa nyumbani walikubali kipigo cha mabao 4 -1 na Manchester United huku Romelu Lukaku akifunga mara mbili, Martial na Mkhtaryan walifunga bao moja moja huku bao la Moscow likifungwa na Kuachev na kuwafanya United kuongoza kundi A.
Kundi B - Psg wakiwa nyumbani wameshinda mabao 3-0 dhidi ya Buyen Munich ambapo wachezaji Dani Alves, Neyamar na Edison Cavanni wamefanikiwa kuifunga Bayern Munich bao 3 huku Celtic wakiwa ugenini wakiifunga Anderchelt mabao 3 mabao ya Celtic yakiwekwa kimiani na Patrick Roberts, Scott Sinclair na Griffiths.
Kundi C FC Qarabag imechapwa 2-1 na AS Roma, Atletico Madrid imefungwa 2-1 dhidi ya Chelsea. Kundi D- Gonzalo Higuain na Mario Mandzukic waliisaidia Juventus kupata alama 3 baada ya kupata ushindi dhidi ya Olympiacos wa mabao 2-0, huku Barcelona wakizidi kujichimbia ugenini baada ya goli la kujifunga Sporting la Sebastian Coates.bbc
Share on Google Plus

. nyumbanitz

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment