mwanazuoni

Zimbabwe: Emmarson Mnangagwa '' Mamba'' atarajiwa kuiongoza

Ni siri iliyofichuka nchini Zimbabwe kwa miaka mingi kwamba Emmerson Mnangagwa alitaka kumrithi Robert Mugabe kama rais.
Na Bwana Mugabe anaonekana kuwa amekuwa akichezea hisia zake - na amekuwa akimpandisha vyeo katika chama tawala cha Zanu-PF party na hata katika serikali, jambo lililozusha uvumi kwamba Bwana Mnangagwa ''ndie mrithi wake'' lakini baadaye alimshusha cheo huenda baada ya kuonyesha azma yake wazi pengine kupita kiasi.
Lakini baada ya kufutwa kazi, inaonekana kana kwamba subra ya Mnangagwa anayefahamika kwa jina maarufu la "mamba" ilikwisha.
Baada ya kufutwa kazi na Bwana Mugabe kumpuuza na kumshutumu hadharani kwa "usaliti", wafuasi wake katika jeshi waliingilia kati kwa niaba yake.
Lakini yeyote mwenye matumaini kwamba urais wa Mnangagwa utamaliza ukiukaji wa haki za binadamu nchini Zimbabwe huenda anajitanganya .
Share on Google Plus

. nyumbanitz

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment