Wadau wa Chadema |
Zitto akiwasili mahakamani |
wadau wa Zitto Kabwe |
Wakuu nimelazimika kuripoti japo sipo eneo la tukio lakini kwamsaada wa vitendea kazi muhimu vilivyopo mahakamani hakuna kitakachoharibika,
Watu wameshaingia kwenyevukumbi wa mahakama, mawakili wa pande zote wapo,
Lisu anatanabaisha kuwa uamuzi wa kesi hii utasomwa saa kumi kamili.
Vuteni subira kila kitu kitakuja hapa live,
Wakuu,
Jaji ameingia, na karani tayari ameshasoma jalada la kesi husika
Mawakili wanajitambulisha,
Jaji anaomba radhi kwa kuchelewa kuanza kusoma hukumu
Anarudia summary ya juzi aliyosoma kuhusu historia ya pingamizi na mwenendo wake
Anarudia summary ya juzi aliyosoma kuhusu historia ya pingamizi na mwenendo wake
mM alitaka alitaka cc isijadili uanachama,amri yoyote itolewe na mahakama pia chama kilipe gharama za kesi
Upande wa utetezi umeweka pingamizi leo asubuhi kutolipa gharama ya kesi ikiwa Zitto
atashindwa kesi
Muda si mrefu hukumu itatoka kwahiyo nitakuwa nawapatia taarifa zitakavyokuwa zinaendelea.
NIMEPENDA SANA BLOG YAKO LABDA PIA COZ NI MSHANA ILA HUWEZA KUANZISHA BLOG UKAFANYA MAMBO MENGINE YA MSINGI NI IKAWA NA WAPENZ WENGI ?MAANA HAPA UMEIGA TU NA KUCOPY MAMBO YA NGONO NA UDAKU KAMA ZILIVYO BLOG NYING....NAKUSHAURI KUWA CREATIVE KUIGA HAKUTAKUPELEKA MBELE SANA
ReplyDelete