mwanazuoni

CHELSEA YAIBUKA MBABE MBELE MANCHESTER CITY

Jana timu ya Chelsea iliibuka vinara katika mechi zidi ya Manchester City. Jana historia mpya iliandikwa na Chelsea kwani Manchester City ni mara yao ya kwanza kushindwa kupata goli katika uwanja wao wa nyumbani.

Manchester City alikuwa ameshinda mechi zote 11 alizocheza nyumbani kabla ya kukutana na Chelsea hapo jana. Manchester City 0 - 1 Chelsea.

Kutokana na mechi hiyo Manchester City na Chelsea zina alama sawa lakini Mancity imefunga mabao mengi
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment