Mchumi Mstafu wa CCM tawi la MUM . Ndugu Mohammed MTulikwako |
Wajumbe Wakifatilia kwa makini mada . |
Wasomi hao waliamua kukutana na kubadilisha mawazo ya hapa na pale kwa lengo la kuhakikisha wanaporejea Rufiji wanapeleka mawazo chanya yenye kuleta maendeleo kwa wanajamii wanaowazunguka.
Mchumi mstafu na mshauri wa jumuhiya hiyo Bw: Mtuliakwako alisema " Tumejianda vema kwenda kujenga Rufiji yetu ambayo itakuwa na manufaa na yenye maendeleo endelevu kwa nguvu za wanarufiji wenyewe".
0 comments:
Post a Comment