mwanazuoni

DUNIA INAELEKEA WAPI, TAZAMA PICHA HIZI



Suala la kushuka hama kuporomoka kwa maadili limekuwa la kawaida kwani kila siku maadili yanazidi kuporomoka sasa sijui ni kwa nini na nani hasa anapaswa kulaumiwa? Kila kunapokucha matukio ya kushuka kwa maadili yanashika kasi katika jamii zinazotuzunguka. Serikali na vyombo vyote vya dini vinatakiwa kuchukua hatua za haraka katika kuahikikisha wanakomesha vitendo hizi ambavyo ni hatari kwa ustawi wa maadili yetu ya kiafrika.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment