mwanazuoni

ARSENALYALAMBA SHUBIRI LIGI KUU YA ENGLAND

Matokeo ya mchezo huo uliopigwa kwenye dimba la Goodison Park ni sare ya 2-2.
Everton walianza kufunga kupitia Coleman na Naismith katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo.
Mpaka kufikia dakika ya 80 Everton bado walikuwa wakiongoza kwa 2-0, lakini kuingia kwa Santi Cazorla, Oliver Giroud na Campbell kulibadili mcheO na Gunners wakafanikiwa kurudisha magoli yote kupitia Ramsey na Giroud.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment