mwanazuoni

EZEY MUCHWA ATOA FUNZO KWA VIJANA NA WAKAZI WA JIMBO LA KAWE





AYUBU TESHA(SMG) NA WAKATI NI DIWANI WA KAWEMHE. OTHAMAN KIPETA

 EZEY MUCHWA

Jana katika viunga vya soko jipya kulikuwa na tukio la kihistoria baada ya vijana wa Kawe chini ya AYUBU TESHA akishilikiana na Baba wa Maendeleo ndugu diwani Othmani Kipeta waliandaa tamasha kubwa ambalo la kuwahamasisha vijana na wakazi wake kujua afya zao kwa kupima.
Hivyo kwa kuwa msanii ni kioo cha jamii usemi huo ulidhihilishwa na msanii na mwalimu wa kawe Ukwamani sekondari Ezey Muchwa alipofundisha vijana kwa kupitia mic katika jukwaa kama kwenye picha anavyoonekana.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment