mwanazuoni

MANCHESTER CITY YAPATA KIPIGO KUTOKA BAYERN MUNICH





Manchester City jana ilijikuta ikijiweka katika wakati mgumu baada ya kukubali kupokea kichapo cha bao moja kwa bila kutoka kwa Bayern Munich. Bao pekee la Bayern Munich liliwekwa katika nyavu na mchezaji machachali Jerome Boateng katika dakika ya 90. Hivyo mpaka mwisho wa mchezo Bayern Munich 1 - 0 Manchester city.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment