mwanazuoni

DIAMOND AWEKA MAMBO HADHARANI



Mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’wakila ujana.
Habari zinaeleza kwamba katika pati ya mwaka ya Zari wiki iliyopita iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Guvnor uliopo Kampala, Uganda mwanadada huyo hakuishia kwenye pati tu bali alitumia nafasi hiyo kumtambulisha Diamond aliyekuwa mgeni rasmi kuwa kwa sasa wao ni wapenzi.

‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’ wakifanya yao.
Mbali na mahaba niue waliyooneshana mbele za watu, wawili hao walitumia chansi hiyo ‘kudendeka’ mbele ya kamera hivyo kudhihirisha kwamba mambo yao yapo juu ya mstari.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment