mwanazuoni

MMM! KWA MTINDO HUU MWANAUME HUTOKI


Siku hizi kwa wanaume wanaokaa katika nyumba za kupanga wanapata hadha kubwa ya kukumbwa na mitego ya kila aina kutoka kwa dada zetu. kwani ni jambo la kawaida kwa mwanamke katika nyumba za kupanga kuvaa kanga moko tena laini harafu anakuwa anafanya shughuli zake bila hata kujali kuwa mwanaume yupo pale tena lijari wa kutosha. Dada zetu chungeni heshima zenu bila ya hivyo mtakuwa wa kumengwa na kuachwa......!!!
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment