mwanazuoni

DUNIA IMEKWISHA MCHUNGAJI AWAVUA NGUO WAUMINI WAKE WA KIKE

Mchungaji huyu alifanikiwa kuwashawishi waumini wa kike wa kanisa lake kuvua nguo mbele ya kanisa lote ili awafanyie maombezi kwa kuwakanyaga.

Mchungaji huyo anasema kwamba utapata uponyaji pale tu ambapo utafuata njia yake ya kuvua nguo na kubaki nusu uchi. Cha kushangaza waumini wake wengi (wanawake) hawakusita kumtii mchungaji huyo.
 
Miongoni mwa waumini hao ni wake za watu ambao nao wameshiriki katika uvuaji wa nguo . je ni wapi dunia inakwenda ?
 




 
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment