mwanazuoni

MATESO DHIDI YA MAHABUSU TANZANIA


Watuhumiwa wa ugaidi walio kwenye magereza ya Dar es Salaam wanalalamika kuteswa kikatili na kudhalilishwa kijinsia wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola wakilazimishwa kukiri makosa wanayoshitakiwa. 


Katika Mbiu ya Mnyonge, Mohamed Dahman anahoji ni kwa namna gani tuhuma kama hizi zinatolewa na kunyamaziwa kimya na mamlaka husika katika wakati ambapo dunia inazungumzia utawala wa sheria na haki za binaadamu, zikiwemo za wale walio mikononi mwa vyombo vya dola!

  Sikiliza sauti hapa ya makala hiyo


Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment