mwanazuoni

HABIBU MCHANGE ATOA FUNZO KWA WANAFIKI WA UKAWA

Je kinanchofanywa na wanasiasa wetu baadhi ya vyama vya upinzani kwa watanzania ni haki? Jana tumewaona viongozi wa vyama vya upinzani baadhi kugomea sherehe za kuapishwa kwa rais wa awamu ya tano. lakini leo wamekuwa wa kwanza kwenda kujiandikisha majina bungeni kwa ajili ya kikao na rais.

Haya ndio maneno yaliyosemwa na Habibu Mchange.

Nchi ina WANAFIKI SANA WA KISIASA HII..
Ukawa wamesusia kuapishwa Rais lakini UKAWA HAO HAO wameenda Bungeni kujiandikisha kama watahudhuria hotuba ya Rais BUNGENI na wamelipwa posho inayoendana na shughuli hiyo. sasa hii ndio kusema Baniani Mbaya kiatu chake Dawa ama? Au kwa kuwa Uwanja wa Taifa hakukuwa na POSHO?.. kungekuwa na POSHO kama kawa asingesusa mtu?...ukiamua kususa unasusa jumla sio nusu nusu. Utapeli wa kisiasa wa namna hii haufai..wangesusia vyote!


Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments:

  1. Najua ni hasira za kukosa kila kitu mdogo wangu pole saana

    ReplyDelete