mwanazuoni

WAJUE WAKUU WA JESHI LA POLISI NA WASIFU WAO

 
Ernest Jumbe Mangu
Utumishi:
2013 - 1970 (Mkuu wa Jeshi la Polisi)
Taarifa za Kina
Tarehe ya Kuzaliwa: 1959
Mahali pa Kuzaliwa: Singida

Ndoa: Ameoa
MAELEZO
Ernest Jumbe Mangu alizaliwa mwaka 1959 mkoani Singida. Alipata elimu ya Sekondari katika Shule ya Tumaini mwaka 1981.

Alijiunga na Jeshi la Polisi kwa mafunzo ya awali katika Chuo cha Polisi Moshi (CCP) Agosti 17 mwaka 1982 na kuhitimu mafunzo yake mwezi Juni  mwaka 1983. Mwaka 1987 alipata mafunzo ya sheria kwa ngazi ya cheti katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mwezi Novemba mwaka 1992 alitunukiwa shahada ya kwanza ya sheria (LLB) katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam. Mwezi Juni mwaka 2010, alitunukiwa shahada ya udhamili katika masuala ya usalama katika Chuo Kikuu Cha Usalama cha Marekani.

Akiwa ndani ya Jeshi la Polisi amepandishwa vyeo mbalimbali vikiwemo Koplo wa Polisi (1988), Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (1992), Mkaguzi wa Polisi (1995), Mrakibu Msaidizi wa Polisi (1997), Mrakibu wa Polisi (2002), Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (2004), Kamishna Msaidizi wa Polisi (2006), Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi (2010), Naibu Kamishna wa Polisi (2013) na Kamishna wa Polisi (2013).
Amewahi kufanya kazi kama Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Mwanza, Kamanda wa Polisi katika mikoa ya Pwani na Mwanza na Kamishna wa Intelijensia ya Jinai.
Omari I Mahita
Utumishi:
1996 - 2006 (Mkuu wa Jeshi la Polisi .)
Taarifa za Kina
Tarehe ya Kuzaliwa: -
Mahali pa Kuzaliwa: Morogoro, Tanzania

Ndoa: Ameoa

     Said Ally Mwema
Utumishi:
2006 - 2013 (Mkuu wa Jeshi la Polisi)
Taarifa za Kina
Tarehe ya Kuzaliwa: -
Mahali pa Kuzaliwa: Kilimanjaro, Tanzania

Ndoa: Ameoa




Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment