mwanazuoni

VICHEKESHO VYA CLINTON NA DONALD TRUMP

Vichekesho vya Clinton...
"Nimelazimika kumsikiliza Donald Trump kwa midahalo mitatu ... Sasa nimeketi karibu na Donald Trump muda mrefu kuliko maafisa wake wa kampeni."
"Baada ya kusikiliza hotuba yako, nitafurahia sana kumsikiliza (mgombea mwenza wake) Mike Pence akikanusha kwamba hukuitoa."
"Nimefurahia sana kusikia Donald alidhani nilitumia dawa za kuchangamsha mwili (kabla ya mdahalo). Ni kweli nilitumia. Kunaitwa kujiandaa."
Vichekesho vya Trump...
"Usiku wa kuamkia leo, nilimwita Hillary mwanamke mbaya, lakini mambo haya yote yanategemea. Baada ya kumsikiliza Hillary akiongea na kuongea, sidhani Rosie O'Donnell ni mbaya tena."
"Sasa ninaambiwa Hillary alienda kuungama dhambi kabla ya hafla ya leo, lakini kasisi alikuwa na wakati mgumu alipomwuliza dhambi zake, na alisema hawezi kukumbuka mara 39."

Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment