mwanazuoni

KATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF NA ZIARA YA KUIJENGA CUF KUSINI

 Kutoka Mtwara Tanzania,mtoa taarifa wetu anasema tayari Katibu mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad  amewasili Mkoani humo na kupokelewa na viongozi mbali mbali wa chama Taifa.

Mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege kwa kutumia ndege ya shirika la Pression Air nje ya uwanja viongozi wengi wameonekana huku hali ya ulinzi ikiimarika zaidi kupitia walinzi wa chama hicho . tunafuatilia kwa karibu sana ziara hii kuwaletea kila kinachojiri.






Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment