mwanazuoni

KUNDI LA RUFIJI, KIBITI KWETU LAFANYA ZIARA YA KIHISTORIA UTETE

Jana ikiwa ni tarehe 26.11.2016 ni siku ya kufanya Usafi kwa kutekeleza agizo la Rais wetu. Kundi linalojumuhisha Vijana na wadau Wa maendeleo wanatokana na Asili ya RUFIJI na KIBITI walifanya ziara ya kwenda kufanya usafi katika Hospitali ya Utete Pamoja na kufanya Tamasha kubwa kwa kuchangia likijumuisha michezo mbali mbali kama vile: Mpira Wa miguu, Kukimbia na Magunia, kukukimbiza kuku kwa wazee na michezo mingine mbali mbali lakini wakati matukio yote yanafanyika pia liliendeshwa zoezi la kuchangia damu na kutoa msaada na vitu mbali mbali kwa wagonjwa waliokuwepo siku hiyo ya hospitalini hapo.














Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment