mwanazuoni

PICHA ZA MATUKIO KATIKA UZINDUZI WA CHUACHUA CUP JANA


Baadhi ya Mashabiki na wadau wa soka walivyojitokeza katika Uzinduzi huu wakifatilia kwa makini matukio mbali mbali.
 Mgeni Rasmi Ndugu HALFAN MATIPULA mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wilaya ya Masasi. Akizungumza na vijana na wadau wa soka waliojitokeza katika Uwanja. Pia akitoa salam  kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Masasi Mhe: DR Rashid Chuachua
  Marefa wakikabidhiana majukumu kabla ya kuanza kwa mechi 
 Viongozi mbalimbali waliodhuria Uzinduzi Huo. kutoka kulia aliyevaa Suti ni Diwani wa Kata ya Nyasa mhe: Kodo, Diwani wa Mkuti mhe: Machuma, Diwani wa Jida mhe: Mbwana, Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Mhe: Mzee Kazumari Malilo , Mwenyekiti wa Tff wilaya ya Masasi na wa mwisho ni mgeni rasmi ndugu Halfan Matipula Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wilaya ya Masasi.
 Mgeni Rasmi Ndugu H. Matipila
 Diwani mdogo kuliko wote Ndugu Juma Polle akiwasalimia wadau wa soka
 Wachezaji wa Timu ya Maendeleo 
 Wadau wa Soka wakifatilia mchezo
 Mgeni rasmi kwenye Tabasamu zito

 Diwani Juma Polle na Mwanazuoni



 Mwanadiplomasia Ramadhan Yunusi akifatilia mchezo
 Goli la Kwanza walilofungwa timu ya Maendeleo
 Wageni na Viongozi wakisalimiana na wachezaji


 Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Masasi akitoa Maelezo juu ya matukio yanayoendelea

 Diwani wa Mkuti akitoa Neno kwa Wadau wa Soka na akiwashukuru kwa kujitokeza kwa wingi
 Wachezaji wa Timu ya Maendeleo

 Diwani



 Mshabiki wa Timu ya Maendeleo akilia baada ya kufangwa


Mwenyekiti wa CCM wilaya akiongea na Marefa wakiwahasa wachezeshe mpira kwa kufata kanuni na taratibu za soka.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment