mwanazuoni

ZIARA YA KITAALUMA NA MICHEZO ILIYOFANYWA NA MASASI FDC

Chuo Cha Maendeleo ya Wananchi Masasi F.D.C Cha fanya ziara katika Wilaya Newala kwa lengo na kujenga ushirikiano miongoni mwa Vyou hivyo vya Maendeleo ya Wananchi Kanda ya Kusini. Baadhi ni picha za matukio ya ziara hiyo.




 Madereva wakiwa wamepomzika katika viwanja vya Halmashauri ya Newala

 Watumishi wa Masasi FDC

 Wanachuo wa Masasi FDC


 Wanachuo wakisikiliza Maelezo kutoka kwa afisa Utamaduni wilaya ya Newala kuhusu Boma la Wajerumani

Boma la Wajerumani Newala

Mr Songa akiwapa maelekezo wanachuo kabla kuingia ndani ya Boma


 watumishi wa Masasi FDC na Newala


Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment