mwanazuoni

YALIOJILI BUNGENI LEO KUHUSU SAKATA LA LUGUMI

May 16 2016 Sakata la Mkataba tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises lilitarajiwa kujadiliwa bungeni wakati wa mjadala wa Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 
Kamati ya Bunge Wizara ya Mambo ya Ndani imependekeza suala la Mkataba huo unaohusisha ufungwaji mashine za alama za vidole ‘fingerprint’ usijadiliwe bungeni na badala yake liachwe kwa kamati ya bunge ya PAC iliyoanza kulifuatilia suala hilo lililoibuliwa na CAG katika ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka 2014/15.
Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani 2016/17 umeahirishwa hadi saa kumi kamili ili kutoa nafasi kwa Kambi rasmi ya upinzani kukutana na kamati ya kanuni ili kuipitia upya hotuba ya kambi hiyo iliyotarajiwa kuwasilishwa kwenye kikao cha asubuhi leo hii.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment