mwanazuoni

BREAKING NEWS : AJALI IMETOKEA MAENEO MCHEMA MASASI

Ajali imetokea muda huu maeneo ya Mchema wilayani Masasi. Gari  Aina ya Carina yenye namba ya usajili T 761 BHW imepata ajali baada ya dereva kushindwa kumudu stering na Kuacha njia kuingia kwenye Mtalo. Kwenye gari kulikuwa na watu wawili Lakini kwa sasa wapo hospital ya Mkomaindo kwa ajili ya matibabu. Wakati tunakwenda mitamboni taarifa zinasema gari ilikuwa kwenye majaribio. Chanzo cha ajali bado akijatolewa.
Taarifa zingine tutakupa kadri tutakavyo Pokea.














Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment