mwanazuoni

DK. AYUB RIOBA AWANOA KWA SEMINA YA WELEDI WAANDISHI WA HABARI WA GAZETI LA UHURU, JIJINI DAR ES SALAAM LEO.


Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Rioba, akiendesha semina ya kunoa weledi wa taaluma ya uandishi wa habari kwa waandishi wa habari na baadhi ya watumishi wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, leo katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Dk. Rioba ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), ana shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD) katika Sayansi ya Jamii aliyoipata katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Rioba, akiendelea kutoa 'nondoz' kwa wafanyakazi hao wa UPL, huku wafanyakazi hao wakimsikiliza kwa makini sana
Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Rioba, akifafanua mada zake kwenye semina hiyo ya kunoa weledi wa kitaaluma.
Washiriki wa semina hiyo wakiwa ukumbini.
Dk. Ayub Rioba, akiendelea kutoa mada kwenye semina hiyo

Dk. Rioba akisifu mpangilio wa habari na uzuri wa habari kwenye gazeti la Uhuru la leo wakati akitoamada kwenye semina hiyo.

Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment