mwanazuoni

WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE FREDERICK SUMAYE AMJULIA HALI MHE TUNDU LISSU NAIROBI

Waziri Mkuu Mstaafu katika Serikali ya Awamu ya Tatu Mhe. Frederick Sumaye, amefika Hospitalini jijini Nairobi nchini Kenya kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu kufuatia Mbunge huyo kupigwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7,2017 akiwa mjini Dodoma.

Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment