mwanazuoni

CHELSEA YALAZIMISHA SARE KWA MAN U

Diego Costa ameiokoa Chelsea kupokea kipigo baada ya kupiga bao la kusawazisha dhidi ya Manchester United na kuendeleza rekodi ya kocha wa muda wa Guus Hiddink ya kutofungwa mechi tisa tangu alipochukua majukumu ya kuinoa Chelsea.
Man United walionekana kuanza kuamini kupata ushindi kwenye mchezo huo na kusogelea nafasi juu nne za juu baada ya Jesse Lingard kupachika bao dakika ya 61 na kuanza kujenge mazingira ya kushinda mchezo wa tatu mfululizo kwenye mechi za mashindano yote.
Mwisho wa Mchezo huo timu zote mbili zilitoka zikiwa na nguvu sawa baada ya kulazimishana Ushindi wa 1-1.

Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment