mwanazuoni

UPDATES: HABARI KUTOKA MAHAKAMANI KUHUSU ZITTO NA CHADEMA


Baadhi ya vijana na wadau wa siasa nchi wakiwa kwenye foreni ya kusubiri kuingia mahakaman kwenda kufatilia nini kitatokea leo mahakamani kwenye shauri liliwakilishwa na mwanasheria wa Zitto.
Pande zote mbili zimewasili mahakamani hapo na hivi sasa kesi inaendelea ila tunawaomba kuendelea kufatilia habari hapa kwani tutakuwa tunawapa kila kinachojili mahakamani hapo.

Upadates
Mahakama imeailisha kesi na kuendelea tena kesho saa 8 mchana kwa ajili ya hukumu juu ya kesi ya pingamizi lilowekwa na Zitto . Sasa kazi ipo ndani ya chadema ili tuendelee kusubiri nini kitatokea.


Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment