Mgombea wa kiti cha urais wa chama
cha Republican nchini Marekani Donald Trump, amesema mauaji ya watu 50
katika baa moja ya wapenzi wa jinsia moja huko Orlando inathibitisha
msimamo wake kwamba waislamu wapigwe marufuku kukanyaga ardhi ya
Marekani.
Trump amemkashifu mpinzani wake wa chama cha republican
Bi Hillary Clinton, kwa kutodadisi sababu za mtu huyo kutenda mauaji
hayo.- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


Mtani
0 comments:
Post a Comment