mwanazuoni

IDARA YA ELIMU HALMASHAURI YA MASASI YAPATA PIGO KUBWA


Hakika waswahili Wanasema " Chema hakidumu" Ni kauli iliyojidhihirisha Jana baada ya kumpoteza mwalimu Mr Ngonyani.
Ni mwalimu aliyewafundisha wengi Sana na amepitia shule mbalimbali katika HALMASHAURI ya Masasi. Miongoni mwa shule hizo ni
Alianzia ndwika girls, chidya boys, mwena day, lupaso day. Amekutwa na umauti akiwa  mwl wa CHANIKANGUO SEC.
Ratiba ya Mazishi.
TAARIFA

 Mwili wa marehemu Desderius C. Ngonyani utaagwa nyumbani kwake Chisegu saa 2 asb na safari ya kwenda kumpumzisha kwenye makazi ya milele huko Mbimbi, Songea itaanza saa 3 asb

Nitaendelea kuwajuza kinachojili. R. I. P MR NGONYANI

Mwl Somoe. Asante Sana kwa kunipa taarifa Hii.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment