mwanazuoni

BULEMBO AWASILI WILAYANI BIHARAMULO MKOANI KAGERA

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk Amani Kaborou wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali, maofisa na wote waliomo kwenye msafara, wakati Viongozi wa mkoa wa Kigoma walipokuwa wakiagana na Bulembo na msafara wake, katika eneo la Nyakanazi, kabla ya kuendelea na msafara huo kwenda wilayani Biharamulo mkoani Kagera leo jioni. Bulembo ameingia mkoani Kagera baada ya kumaliza ziara yake katika mkoa wa Kigoma.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo akiagana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou
 Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiagana na Katibu wa CCM mkoa wa Kigoma Naomi Kapambala 
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akiagana na Mwenyekiti wa Jumuia hiyo mkoa wa Kigoma.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiwa na Nkuu wa wilaya ya Kakonko Kanali Hosea Ndagala kabla ya kuagana
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiagana na Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Kanali Hosea Ndagala
 KUWASILI BIHARAMILO🔽
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akisalimia badhi ya wana CCM walimpokea katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera leo jioni
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimsalimia Mbunge wa Viti maalum
 Mbunge na shoga yake wakafurahi
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na baadhi ya viongozi wa CCM na Jumuia zake waliompokea kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Boharamulo mkoani Kagera leo jioni
Baadhi ya madereva na Maofisa wa Jumuia ya Wazazi Tanzania wakipumzika kivulini baada ya Mkuu wa Msafara, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdalla Bulembo kuwasili hotelini kwa ajili ya mapumziko baa ya kuwasili Wilayani Biharamulo mkoani Kagera.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment