mwanazuoni

CCM SHIRIKISHO LA VYUO VIKUU MOROGORO WAFANAYA MAHAFARI

 Wamependeza makada




Kada SILAS Mchumi na fedha mstaafu MUM

Mhe January Makamba


 Mhe Mtulykwako, MCHUMI NA FEDHA TAWI LA MUM






 Mhe Bw Malela. Mwenyeki mstaafu wa MUM wa kwanza Kushoto

Hizi baadhi ya picha za makada wa CCM kutoka vyuo vikuu mbali mbali ndani ya mkoa wa morogoro wakiwa katika mahafali hapo jana katika ukumbi wa bwalo la JKT. Mahafari hayo yalijumuisha chuo kikuu cha waislam Morogoro, SUA, MZUMBE na Jordan.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment