mwanazuoni

PICHA ZA MAHAFARI YA WANAHARAKATI WA TAHARIRI SQUARE






 wakati ni Mwenyekiti Bw Edo




















 Hawa ni  vijana  wa kitanzania ambao wameamua kutumia muda wao na elimu nkuhakikisha wanajamii wanafaidika na elimu na kujivunia  matunda amabo wameyapanda wazazi wao. Ni vijana wanaofanya kazi za kiharakati kwa manufaa ya jamii na kuacha itikadi zao za kisiasa, kwani TAHIRI SQUARE  imebalikiwa kuwa na viongozi wakubwa katika vyama vikubwa vya nchi hii. Wapo viongozi wa chama cha NRA Taifa, CUF mkoa, CHADEMA mkoa na CCM taifa na mkoa. ila wamekuwa pamoja na kufanyakazi kwa maslahi ya taifa na sio chama. Hongereni kwa wale ambao wamehitimu na wale ambao mpo bado chuoni kazi buti kwani harakati bila ya elimu ni sawa na chai bila majani ya chai.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment