Vijana wanapokuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya taifa. Itapelekea taifa kutoka katika dimbwi kubwa la kukosa maendeleo. Tanzania nchi yenye kila rasimali ambazo ni kikucheo cha maendeleo katika nyanja zote yaani ya kiuchumi, kijamii na hata kisiasa.
Tatizo kubwa la nchi hii kuwapa watu uongozi ambao awana sifa ya kuwa viongozi, tunaanda vionozi ambao hawezi hata kujibu hoja makini na pia hawawezi hata kusimamia kile ambacho ni sahihi na kufatiria mambo ambao hayana msingi kwa taifa kwa ujumla. Mfano juzi CAG wakati anapeleka ripot ya ukaguzi bungeni waziri mkuu yupo kwenye mahafari katika chuo kikuu cha Mzumbe.
Tunashindwa kuwaanda vijana kupitia vyuo vyetu vikuu kwa malengo ya kwenda kutoa huduma kwa jamii zao. Tumekua tukiandaa vijana kuwa waoga katika kusimamia mambo yao ya msingi na kuwa na mihemko ambao kimsingi haina teja yoyote kwa jamii.
Awa ni baadhi ya vijana ambao mungu akiwajalia watakuja kuwa viongozi bora na wenye mafanikio makubwa kwa mustakabali wa nchi yetu.
 |
| Mhe: Jashia |
 |
| Mhe: Njarau |
 |
| Mhe: Adam Matimbwa |
 |
| wadau wakifatiria kikao |
 |
| Ndugu Yusuph |
 |
| Ndugu; Babu Ally na Jashia wakifatiria kikao kwa makini |
 |
| Ndugu Mbegu moja |
 |
| Ndugu akitoa mawazo yake chanya kwenye kikao |
Mtani
Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
0 comments:
Post a Comment