mwanazuoni

CHARLIE ADAM APELEKA MSIBA KWA MANCHESTER UTD

Hapo jana washabiki na wapenzi wa Manchester Utd walikuwa katika wakati mgumu baada ya kukubali kupokea kipigo cha 2 kwa 1 kutoka kwa Stoke City na goli zote mbili zilifungwa na Adam. Amevunja rekod kwan kwa mara ya kwanza Stoke City kuifunga Man U ilikuwa mwaka 1984.Hivyo ushindi huu waliopata jana Stoke City ni ushindi wa kihistori.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment