mwanazuoni

HABARI KUTOKA MBEYA: CCM KUMEKUCHA SASA

Matembezi ya Mshikamano ya Kuadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa Mkoani Mbeya.Matembezi hayo yameanza vizuri kuanzia Soweto mpaka viwanja vya Sokoine, mambo chama cha Mapinduzi kitafanya maadhimisho. Habari zaidi nini kinaendelea zitakuwa zinawajia mara kwa mara kupitia blog yako hii.
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment