mwanazuoni

Mashabiki wa kandanda 1000 wajeruhiwa kwenye mkanyagano Italia

Takriban watu 1000 wamejeruhiwa katika mji wa Turin nchini Italia baada ya fataki kuzua hofu na kusababisha mkanyagano usiku wa Jumamosi kwa mujibu wa polisi.
Maelfu ya mashabiki wa kandanda walikuwa wakitazama mechi iliyokuwa ikipeperushwa moja kwa moja ya fainali ya kombe la UEFA kati ya Juventus na Real Madrid, wakati uvumi wa mlipuko ulianza kusambaa.
Piazza San Carlo, Turin, 3 June 2017Haki miliki ya pichaAFP
Image captionMashabiki wa kandanda 1000 wajeruhiwa kwenye mkanyagano Italia
Takriban watu wawili akiwemo mtoto wa umri wa miaka 7 walijeruhiwa vibaya.
Real Madrid iliishinda Juventus kwa mabao 4-1 na kushinda kombe kwa mara ya 12.
Piazza San Carlo, Turin, 3 June 2017Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMashabiki wa kandanda 1000 wajeruhiwa kwenye mkanyagano Italia
Dakia kumi kabla ya kukamilika mwa mechi umati ulikimbia kutoka katikati ya eneo la Piazza San Carlo, na kuwasukuma watu kuelekea kwa vizuizi vilivyokuwa kando kando mwa eneo hilo.
Mikoba na viatu viliachwa vimetabakaa wakati watu walikimbia wakipiga nduru kutoka eno hilo.
Piazza San Carlo, Turin, 3 June 2017Haki miliki ya pichaAFP
Image captionMashabiki wa kandanda 1000 wajeruhiwa kwenye mkanyagano Italia
Kwa mashabikia wa Jeventus kisa hicho kilifufua kumbukumbu za mwaka 1985 katika uwanja wa Heysel wakati watu 39 wengine wao mashabiki wa Italia, waliuawa wakati ukuta uliwaporomokea kabla ya fainali na Liverpool.
Piazza San Carlo, Turin, 3 June 2017Haki miliki ya pichaEPA
Image captionMashabiki wa kandanda 1000 wajeruhiwa kwenye mkanyagano Italia
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment