mwanazuoni

Taiwan yaonyesha dalili za kuichokoza Uchina

Rais wa Taiwan, Tsai Ing-wen, amejitolea kuielezea Uchina namna Taiwan ilivyojibadilisha kutoka mfumo wa chama kimoja cha siasa, na kuwa demokrasi iliyochanua.
Pendekezo hilo la Bi Tsai, linaweza kuonekana Uchina kuwa uchokozi, wakati siku inakaribia ya kukumbuka mauaji ya Medani ya Tiananmen, miaka 28 iliyopita ambapo jeshi la Uchina liliwaua waandamanaji waliotaka mabadiliko ya kisiasa.
Wakuu wa Uchina wanaidharau siku hiyo na wanawazuwia wengine wasiikumbuke.
Bi Tsai aliisihi Uchina ikubali matukio ya tarehe 4 Juni, mwaka 1989.
Taiwan
Image captionTaiwan
Share on Google Plus

. Mtani

Mshana is Tanzanian blogger who writes different news without bias, He provides social, political and sports as well as Entertainment news happening in all parts around the World."STAY ME ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.."
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment